Halloween party ideas 2015


Klabu ya soka ya Real Madrid iliifanikiwa kuichapa Timu ya Rayo Vallecano Bao 10-2 katika Mechi ya ligi kuu ya ispania maarufu kama (La Liga ) .

Madrid walianza kufunga mabao kupitia Danilo na Rayo Vallecano wakasawazisha na kuongeza bao na kuongoza ikiwa ni bao 2-1.
Katika ushindi wa mabao hayo 10-2 -mbali na mchezaji Danilo mabao mengine ya madridi yalifungwa na wachezaji Gareth Bale mabao manne (4) , Cristiano Ronaldo mabao mawili (2), Karim Benzema mabao matatu (3), huku mabao ya Rayo Vallecano yakifungwa na Antonio Amaya Pamoja na Jozabed.
Ushindi huu umewabakisha Real Madrid katika Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 2 nyuma ya Vinara Barcelona na Atletico Madrid .

Post a Comment

Powered by Blogger.

Powered by themekiller.com