Sergio Aguero (kati) akishangilia moja ya goli alilofunga dhidi ya Norwich
MANCHESTER CITY imefanikiwa kushinda mabao 3 - 0 mbele ya Norwich City , katika ushindi huo Sergio Aguero ameweza kufunga mabao mawili na jingine likifungwa na Kevin De Bruyne katika kipindi cha pili.
Post a Comment