Halloween party ideas 2015


Lionel Messi ameifungia  hat-trick timu yake ya Barcelona  dhidi ya Granada katika ushindi wa 4 - 0 na kuiwezesha Barcelona kukaa kileleni mwa msimamo mwa ligi kuu Hispania  La Liga .

Messi aliweza kufunga mara mbili ndani ya dakika 14 na baadae alifunga tena dakika ya 58, na goli la nne limefungwa na Neymar dakika ya 83.


Post a Comment

Powered by Blogger.

Powered by themekiller.com