Lionel Messi ameifungia hat-trick timu yake ya Barcelona dhidi ya Granada katika ushindi wa 4 - 0 na kuiwezesha Barcelona kukaa kileleni mwa msimamo mwa ligi kuu Hispania La Liga .
Messi aliweza kufunga mara mbili ndani ya dakika 14 na baadae alifunga tena dakika ya 58, na goli la nne limefungwa na Neymar dakika ya 83.
Post a Comment