Halloween party ideas 2015


Kiungo Mkenya wa Southampton, Victor Wanyama akimrukia mchezaji mwenzake Jose Fonte (katikati) na baada ya Martina kufunga jana dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England

WASHIKA Bunduki, Arsenal wamepokonywa mtutu na Southampton na kutandikwa risasi nne jana Uwanja wa St Marry’s katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.
Rhu-Endly Martina alianza kuiadhibu timu ya Arsene Wenger dakika ya 19, kabla ya Shane Long kufunga la pili dakika ya 55 na la nne dakika ya 92, wakati bao la tatu lilifungwa na Jose Fonte dakika 69.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Post a Comment

Powered by Blogger.

Powered by themekiller.com