Halloween party ideas 2015


MASHABIKI: Wanadai Jose Mourinho amesalitiwa na wachezaji wake, hawakujitolea kucheza kwa kiwango stahiki, mashabiki hao walishindwa kujizuia kuzomea mara waliposikia majina ya wachezaji kama Cesc Fabregas na Diego Costa yakisomwa katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo ilipocheza na Sunderland leo jumamosi Stamford Bridge na kushinda kwa mabao 3 - 0.
Chelsea wakishangilia moja ya magoli waliyofunga dhidi ya Sunderland.



Ces Fabrigas Na Zuma




Mashabiki wakionyesha kutoridhika kufukuzwa Jose Mourinho


Post a Comment

Powered by Blogger.

Powered by themekiller.com