Kiungo Haruna Niyonzima ameposti picha hii akiwa anatabasamu mbele ya bendera ya Rwanda katika ukurasa wake wa Facebook, saa chache tu baada ya klabu yake kumsimamisha kwa utovu wa nidhamu, ikimtuhumu kuchelewa kurejea klabuni baada ya ruhusa ya kwenda kuichezea timu yake ya taifa, Rwanda. Je, Niyonzima anawapa ujumbe gani Yanga hapa?
MAJIBU YA NIYONZIMA BAADA YA KUSIMAMISHWA YANGA SC!
Kiungo Haruna Niyonzima ameposti picha hii akiwa anatabasamu mbele ya bendera ya Rwanda katika ukurasa wake wa Facebook, saa chache tu baada ya klabu yake kumsimamisha kwa utovu wa nidhamu, ikimtuhumu kuchelewa kurejea klabuni baada ya ruhusa ya kwenda kuichezea timu yake ya taifa, Rwanda. Je, Niyonzima anawapa ujumbe gani Yanga hapa?
Post a Comment