TIMU ya Simba SC imelazimishwa kutoka suluhu ya magoli 1 - 1 na Toto Africans , katika mfululizo wa michezo ya Vodacom Premier League,VPL.
Simba ndiyo iliyokuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa mshabuliaji wake mpya aliyekuwa anaichezea FC Lupopo Ya DRC Dany Lyanga katika kipindi cha kwanza.
Lakini Toto Africans waliweza kurejesha bao hilo katika dakika za nyongeza dkk 90+1.
Post a Comment